
Ni ukweli usiopingika kabisa kua WEMA SEPETU anampenda kim kardashian, hichi ndicho kilichomvutia wema toka kwa kim kardashian....

Shuhuda Amesema "Konda wa basi la mtei amekanyangwa na lori la mafuta eneo la mizani hapa
Singida na kupasuka kichwa na ubongo kutawanyika na moyo kutoka
nje.chanzo ni konda alisuka kwenye basi na kuanza kuongea na simu ndipo
lori hilo nikamgonga lilipokuwa likirudi nyuma"